Picha Kanuni yambeba Aziz KI kwa Saido Ijumaa, Februari 09, 2024 NYOTA wa Yanga, Stephane Aziz KI amejikusanyia jumla ya pointi zake 19 katika Ligi Kuu Bara msimu huu na kumpiku kiungo mshambuliaji wa Simba Mrundi, Saidi Ntibazonkiza 'Saido' mwenye pointi sita akiwa na kikosi hicho cha Msimbazi. Photo: 1/3 View caption Photo: 2/3 View caption Photo: 3/3 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Ligi ya Mabingwa Afrika: Yanga mikononi mwa vigogo YANGA imetinga makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kishindo kwa msimu wa pili mfululizo ikiwa ni historia kwa klabu hiyo katika michuano hiyo ya CAF na sasa inasubiri kujua itapangwa na vigogo...
Hii ndio Simba tunayoitaka sasa HII ndio Simba tunayoitaka. Ndivyo baadhi ya kauli za mashabiki waliojazana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, wakati Simba ikiing’oa Al Ahli Tripoli ya Libya kwa mabao 3-1 na kutinga kibabe katika...
PRIME Dau la Elie Mpanzu Simba KAMA ulidhani ni utani, basi utakuwa unakosea, kwani Wekundu wa Msimbazi, Simba wameamua msimu huu kufanya yao na wakati wowote watamtangaza winga mpya, Elie Mpanzu ambaye inadaiwa amevuta...